این [شیوۀ برخورد با ملتهای ناسپاس،] سنتِ [ما دربارۀ] پیامبرانی است که پیش از تو فرستادیم؛ و [هرگز] در سنت ما [دگرگونی و] تغییری نمییابی.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Huo ndio mwendo uliowekwa na Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, katika kuwaangamiza watu wanaomtoa Mtume wao kutoka kwao, na hutapata mabidiliko kwenye mwendo wetu, kwani hatuendi kinyume na ahadi yetu.