و چون آیات روشنگر ما [در مورد قیامت] بر آنان خوانده میشود، دلیل [انكار]شان فقط این است كه مىگویند: «اگر راست مىگویید، نیاکانمان را [زنده کنید و] بازگردانید».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na wanaposomewa, hawa washirikina wakanushaji, aya zetu zilizo waziwazi, huwa hawana hoja isipokuwa ni kutoa maneno yao kumwambia Mtume Muhammad, “Wahuishe, wewe na Waumini, baba zetu waliokufa iwapo nyinyi ni wakweli kwa mnayoyasema.”