[ای پیامبر، به آنان] بگو: «الله است كه شما را حیات مىبخشد و مرگ مىدهد؛ آنگاه شما را در روز قیامت ـ که هیچ تردیدی در [وقوع] آن نیست ـ جمع مىكند؛ ولى بیشتر مردم [این حقیقت را] نمىدانند».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Sema, ewe Mtume, uwaambie hawa washirikina wenye kukanusha kufufuliwa, “Mwenyezi Mungu Aliyetakasika na kutukuka, Atawahuisha duniani kipindi Anachotaka muishi, kisha Atawafisha humo, kisha Atawakusanya mkiwa hai kwenye Siku ya Kiyama isiyokuwa na shaka.» Lakini wengi wa watu hawajui kwamba Mwenyezi Mungu ni Muweza wa kuwafisha, kisha kuwafufua Siku ya Kiyama.