[به آنان] گفته میشود: «امروز شما را [در عذاب دوزخ] رها میکنیم؛ چنان كه شما [نیز در دنیا نسبت] به دیدار امروز بیاعتنا بودید؛ و جایگاهتان آتش است و هیچ یاورى نخواهید داشت.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na wakaambiwa hao makafiri, «Leo tutawaacha ndani ya adhabu ya Moto wa Jahanamu, kama vile mlivyoacha kumuamini Mola wenu na kufanya matendo ya kuwafaa katika makutano ya Siku yenu hii, na makao yenu ni Moto wa Jahanamu, na hamtakuwa na wasaidizi wenye kuwaokoa na adhabu ya Mwenyezi Mungu.