[ای پیامبر،] بگو: «به من وحی شده است که گروهی از جنیان [به این قرآن] گوش فرا دادند، و [پس از بازگشت به میان قوم خویش، به آنان] گفتند: بیگمان ما قرآنی شگفتآور شنیدیم
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Sema, ewe Mtume, «Mwenyezi Mungu Ameniletea wahyi kwamba kundi la majini walisikiliza kisomo changu cha Qur’ani, na baada ya kusikia walisema kuwaambia watu wao, «Sisi tumeisikia Qur’ani iliyopambika katika uzuri wa maneno yake, ufasaha wake, hekima zake, hukumuzake na habari inazozielezea,