و اینکه هنگامی که بندۀ الله [محمد ﷺ به عبادت] برخاست تا او را بخوانَد، نزدیک بود که [از ازدحام بر گِرد او] بر سرِ هم فروریزند».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na kwa hakika Aliposimama Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, kumuabudu Mola wake, walikaribia majini kumwangukia wakiwa makundi yaliyojikusanya na kupandana kwa kusongamana sana ili wapate kuisikia Qur’ani kutoka kwake