مگر رسولانی که آنان را پسندیده [و برگزیده] است؛ که بیگمان، از پیش روی او و پشت سرش، نگهبانی [از فرشتگان برای محافظت از وی] میگمارد،
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Isipokuwa kwa yule Aliyemchagua Mwenyezi Mungu na kumpendelea kwa kumpa utume, kwani Yeye huwajuza baadhi ya yale yaliyofichika yasionekane. Na Anatuma, mbele ya huyo Mtume na nyuma yake, Malaika wenye kumhifadhi na majini, ili wasiisikilize kwa kuiba jambo hilo la ghaibu, kisha wakaambiana kwa siri kisha wakawadokeza makuhani.