و اینکه در [گذشته] جاهایی [در آسمان] براى شنیدن، به كمین مىنشستیم؛ [اما] اكنون هر کس بخواهد گوش دهد، تیر شهابى در كمین خود مىیابد؛
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
«Na sisi tulikuwa kabla ya hapo tunakalia sehemu fulani za mbingu ili kusikiliza habari zake. Basi mwenye kujaribu sasa kusikiliza kwa kuiba atapata kimondo cha moto chenye kumngojea kimchome na kimuangamize.» Na katika aya mbili hizi pana kubatilisha madai ya wachawi na makuhani wanaodai kuwa wanajua ghaibu na kuwadanganya wachache wa akili kwa urongo wao na uzushi wao.