آنان کسانی هستند که به آیات پروردگارشان و دیدارِ او [در آخرت] کافر شدند؛ پس کارهایشان تباه گشت و روز قیامت [هیچ قدر و] ارزشى برایشان قائل نمیشویم.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hao ndio waliopata hasara zaidi kivitendo, ndio wao waliozikataa aya za Mola wao na wakazikanusha na wakapinga kuwa watakutana na Yeye Siku ya Kiyama, hivyo basi matendo yao yakabatilika kwa sababu ya ukafiri wao na kwa hivyo hatutawajali chochote Siku ya Kiyama.