[کتابی] استوار تا [الله، کافران را] از عذابی سخت از جانبِ خود بیم دهد و به مؤمنانی که کارهای شایسته میکنند مژده دهد که پاداش نیکویی برایشان [در پیش] است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Mwenyezi Mungu Ameifanya kuwa ni Kitabu kilicholingana kisicho na tafauti ndani yake wala mgongano, ili Awaonye makafiri na adhabu kali itokayo Kwake, na Awape bishara njema wenye kumuamini Mwenyezi Mungu na Mtume Wake wanaofanya matendo mema, kwamba wao watakuwa na malipo mengi, nayo ni Pepo,