آنجا [ثابت شد که یاری و] کارسازی از آنِ [پروردگارِ] حق است. او پاداش [عبادتش] بهتر است و سرانجام [بندگان مؤمنش] نیکوتر.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Katika shida kama hizi mategemeo na usaidizi huwa uko kwa Mwenyezi Mungu wa haki. Yeye ni bora wa kulipa mema na ni bora wa kuwapa mwisho mwema wale waliyoko hifadhini Mwake.