و [همگی] صفکشیده بر پروردگارت عرضه میشوند [و به آنان میگوید:] «بیتردید، چنان که نخستین بار شما را آفریدیم، [امروز نیز تنها و پابرهنه] نزد ما آمدید؛ بلکه میپنداشتید که ما هرگز وعدهگاهی برایتان قرار نمیدهیم».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na hapo watahudhurishwa wote kwa Mola wako wakiwa wamejipanga safu, hakuna yoyote kati yao anayefichwa, na hapo Awaambie «Tumewafufua na mumetujia mkiwa peke yenu, hakuna mali pamoja na nyinyi wala watoto, kama vile tulivyowaumba mara ya kwanza. Bali mlifikiria kwamba hatutawaekea nyinyi wakati wa kuwafufua na kuwalipa kwa matendo yenu.»