آن دو به راه افتادند تا آنکه سوار کشتی شدند. [خَضِر] کشتی را سوراخ کرد. [موسی] گفت: «آن را سوراخ کردی تا سرنشینانش را غرق کنی؟ راستی چه کار ناروایی کردی!»
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Wakatoka kwenda kwenye ufuo wa pwani, ikawapita mashua, wakawataka wenyewe wapande na wao. Walipopanda Al-Khiḍr aliukoboa ubao kutoka kwenye mashua na akaitoboa tundu. Mūsā akamwambia,»Umeitoboa mashua ili uwazamishe wenyewe, na hali wao walituchukua bila malipo? Kwa hakika umefanya jambo baya.»