پس به راه افتادند تا هنگامی که به نوجوانی رسیدند و [خَضِر] او را کشت. [موسی] گفت: «شخص [بیگناه و] پاکی را کُشتی [آن هم] بدون اینکه کسی را کشته باشد؟ واقعاً کار ناپسندی کردی!»
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Al-Khiḍr akakubali udhuru wake. Kisha wakatoka mashuani, na walipokuwa wanatembea kwenye ufuo wa pwani, ghafla wakamuona mvulana yuwacheza na wenzake, na Al-Khiḍr akamuua. Mūsā akamlaumu kwa nguvu na akasema, «vipi umeiua nafsi safi isyokuwa na kosa, isiyofikia umri wa kubeba majukumu, na haijaua mtu mpaka istahili kuuawa? Kwa hakika umefanya jambo baya sana.»