[موسی] گفت: «اگر از این پس چیزى از تو پرسیدم، دیگر با من همراهى نكن [و] از جانب من قطعاً معذور خواهى بود».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Mūsā akamwambia, «Nikikuuliza kitu baada ya mara hii, niache na usifuatane na mimi, utakuwa ushapata sababu kuhusu mimi na hutakuwa umefanya kasoro, kwa kuwa ulinambia kwamba mimi sitaweza kuvumilia pamoja na wewe.»