و پیروان انجیل باید به آنچه الله در آن [کتاب] نازل کرده است حکم کنند؛ و هر کس بر [اساس قوانین و] احکامی که الله نازل کرده است داوری [و حکم] نکند، فاسق است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Basi na wahukumu watu wa Injili, ambao alitumwa kwao Īsā, kwa yaliyoteremshwa na Mwenyezi Mungu ndani yake. Na wale ambao hawakuhukumu kwa yaliyoteremshwa na Mwenyezi Mungu, Basi hao ndio wenye kutoka kwenye amri Yake, wenye kumuasi.