چرا دانشمندان و فقهای [یهود] آنان را از گفتارِ گناه[آلود] و حرامخوارگیشان بازنمىدارند؟ راستى چه بد است آنچه انجام مىدهند!
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Mbona viongozi wao na wasomi wao hawawakatazi hawa ambao wanayakimbilia madhambi na kufanya uadui, kusema urongo, uzushi na kula mali za watu kinyume na haki? Ni kiovu mno walichokifanya, walipoacha kukataza munkar (mabaya).