اما [پیروانشان اختلاف کردند و] در امر [دین]شان میان خود پراکنده و گروهگروه شدند [و] هر گروهی به آنچه نزدشان است دلخوشند [چرا که خود را بر حق و دیگران را بر باطل میدانند].
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na wafuasi walipambanukana katika dini wakawa makundi na mapote, wakaifanya dini yao kuwa dini nyingi baada ya kuamrishwa wajikusanye pamoja. Kila kundi linajigamba kwa maoni yake, linadai kuwa kundi hilo liko kwenye haki na lingine liko kwenye batili. Katika haya pana onyo la kujiweka kwenye makundi na kupambanukana katika Dini.