و [ما] به هیچ کس جز به اندازۀ توانش تکلیف نمیکنیم و نزد ما کتابی است که [دربارۀ اعمال بندگان] بهحق سخن میگوید و به آنان ستم نمیشود.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hatumlazimishi mja yoyote miongoni mwa waja wetu isipokuwa kile kinachomkunjukia kukifanya, na matendo yao yamesajiliwa kwetu ndani ya Kitabu cha kudhibiti matendo, ambacho Malaika watakiinua, kitakachosema ukweli juu yao, na hakuna yoyote kati yao Atakayedhulumiwa.