در حالی که در برابرش تکبر میکردید [و در مجالس شبانۀ خود] به بدگویی میپرداختید.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
«Mnalifanya hilo na huku mnawaonesha watu kiburi pasi na haki kwa sababu ya Nyumba ya Mwenyezi Mungu tukufu. Mnasema, ‘Sisi ni watu wa Nyumba hiyo, hatushindwi tukiwa hapo,’ na mnakesha mkiwa kando-kando yake kwa maneno maovu.»