[ای پیامبر،] بدی را به شیوهای که بهتر است، دفع کن [و ببخش و شکیبا باش]. ما به آنچه [مشرکان دربارۀ تو] توصیف میکنند، داناتریم.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Pindi wanapokufanyia ubaya maadui zako, ewe Mtume, kwa maneno au vitendo, basi usiwalipe ubaya, lakini uondoshe ubaya wao kwa kuwafanyia wema. Sisi tunayajua mno yale wanayokubandika washirikina ya sifa za ushirikina na kukukanusha, na Atawalipa kwa hayo malipo maovu mno.