هنگامی که آیات ما بر او خوانده میشود، میگوید: «[اینها] افسانههای [خیالی] گذشتگان است».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Ikawa akisomewa aya za Qur’ani na mtu yoyote huzikanusha na kusema kuwa hizo ni maneno ya urongo na itikadi za watu waliopita. Aya hizi, ingawa zimeteremka kwa baadhi ya washirikina, kama vile al-Walīd bin \al-Mughīrah, zina onyo ndani yake kwa Muislamu asikubaliane na anayesifika kwa sifa hizi zenye kutukanika.