وارد شوید
وارد شوید
وارد شوید
انتخاب زبان

تفسیر: Al-Qalam ۳۲:۶۸

۳۲:۶۸
عسى ربنا ان يبدلنا خيرا منها انا الى ربنا راغبون ٣٢
عَسَىٰ رَبُّنَآ أَن يُبْدِلَنَا خَيْرًۭا مِّنْهَآ إِنَّآ إِلَىٰ رَبِّنَا رَٰغِبُونَ ٣٢
عَسَىٰ
رَبُّنَآ
أَن
يُبۡدِلَنَا
خَيۡرٗا
مِّنۡهَآ
إِنَّآ
إِلَىٰ
رَبِّنَا
رَٰغِبُونَ
٣٢
امیدواریم که پروردگارمان [ما را ببخشد و] در عوض، چیزی بهتر از آن [باغ] به ما دهد؛ [چرا که] بی‌گمان، ما به سوی پروردگار خود روی آورده‌ایم».
تفاسیر
لایه‌ها
درس ها
بازتاب ها
پاسخ‌ها
قیراط
حدیث
Tunatarajia kwa Mola wetu kuwa Atatupa kilicho bora zaidi kuliko shamba letu, kwa kuwa tumetubia na tumekubali makosa yetu. Sisi tuna matumaini mema kwa Mola wetu, tunatarajia msamaha na tunaomba kheri. Mfano wa mateso hayo tuliyowatesa nayo wenye shamba ndivyo yanavyokuwa mateso yetu duniani kwa kila anayeenda kinyume na amri ya Mwenyezi Mungu na akazifanyia uchoyo neema za Mwenyezi Mungu Alizompa kwa kutotekeleza haki ya Mwenyezi Mungu katika neema hizo.