[در حالی که] دیدگانشان [از ترس و ندامت] فرو افتاده و ذلت و خواری وجودشان را فراگرفته است؛ و یقیناً پیش از این [در دنیا] در حالی که تندرست بودند، به سجده فراخوانده میشدند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Yatakuwa yameinama macho yao, hawayainui, wamefinikwa na unyonge mkubwa kutokana na adhabu ya Mwenyezi Mungu, na hali wao walikuwa ulimwenguni wakiitwa kuswali na kumumuabudu Mwenyezi Mungu wakiwa na nguvu zao na uwezo wa kufanya hivyo, wakawa hawasujudu kwa kiburi na kujiona wakubwa.