[ای پیامبر،] مرا با آن کسی که این سخن [= قرآن] را تکذیب میکند واگذار. ما آنان را اندکاندک [و] به گونهای که درنیابند [و از جاییکه متوجه نگردند]، به سوی عذاب خواهیم کشاند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Basi, niache, ewe Mtume, na wale wanaoikanusha hii Qur’ani! Ni juu yangu kuwalipa na kuwatesa. Tutawanyoshea mambo yao kwa kuwapa mali, watoto na neema nyiginezo kwa njia ya kuwavutavuta kwa namna ya wao kutofahamu kuwa hiyo ndiyo njia ya kuwaangamiza.