و [مادر موسی پس از آنکه او را در نیل رها کرد] به خواهر او گفت: «به دنبالش برو»؛ [خواهرش] از دور به او مینگریست، در حالی که آنان نمیدانستند [که آن دختر، خواهرِ این کودک است].
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na akasema mamake Mūsā kumwambia nduguye wa kike alipomtupa mtoni, «Fuata athari za Mūsā uone atafanywa nini? Akafuata athari zake na akamuona kwa mbali na hali watu Fir'awn hawajui kwamba yeye ni dadake na kwamba yeye afuatilia habari zake.