و موسی گفت: «پروردگارم بهتر مىداند چه كسى هدایت را از نزد او آورده است و [آگاهتر است که] عاقبت نیکِ آن سرا براى کیست. بیتردید، ستمکاران رستگار نمیشوند».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na Mūsā alisema kumwambia Fir’awn, «Mola wangu Anamjua zaidi aliye kwenye sawa kati yetu, aliyekuja na uongofu kutoka Kwake, na yule atakayekuwa na mwisho wa kushukuriwa katika Nyumba ya Akhera. Kwa hakika, madhalimu hawatayapata matakwa yao.»