و او [= فرعون] و لشکریانش به ناحق در سرزمین [مصر] سرکشی کردند و پنداشتند که به سوی ما بازگردانده نمیشوند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na Fir’awn na askari wake walifanya kiburi katika nchi ya Misri bila ya haki kwa kukataa kumuamini Mūsā na kumfuata katika lile alilowaitia na wakadhani kwamba baada ya kufa kwao hawatafufuliwa.