و هر گاه سخنی بیهوده [و ناشایست از اهل کتاب] میشنوند، [با بیتوجهی] از آن روی میگردانند و میگویند: «[پاداش] کارهای ما برای ماست و [کیفرِ] کارهای شما از آنِ شماست؛ [شما از آزار و ناسزایِ ما] در امانید. ما به دنبالِ [همصحبتی با] جاهلان نیستیم».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na wanaposikia, watu hawa, maneno ya ubatilifu, hawayapulikizi, na wanasema, «Sisi tuna matendo yetu tusiyoyaepuka, na nyinyi muna matendo yenu msiyoyaepuka. Sisi hatujishughulishi kuwarudi nyinyi, na hamtasikia kutoka kwetu isipokuwa mema, na hatutasema na nyinyi kulingana na ujinga wenu, kwa kuwa sisi hatutaki njia ya wajinga na hatuipendi.» Na haya ni miongoni mwa maneno mazuri zaidi ambayo walinganizi kwa Mwenyezi Mungu wanayasema.