و در آن سرزمین به آنان قدرت و تمکین بخشیم و [از طرفی] به فرعون و [وزیرش] هامان و سپاهیانشان، آنچه [= سقوط حکومتشان] را که همواره از جانب آنان [= بنیاسرائیل] مىترسیدند، نشان دهیم.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na tuwape uthabiti katika nchi na tumfanye Fir’awn, Hāmān na askari wao waone, kutoka kundi hili linalonyongeshwa kile walichokuwa wakikiogopa cha kuangamia kwao na kuondoka ufalme wao na kuwatoa wao kwenye nyumba zao kwa mkono wa mzaliwa wa Wana wa Isrāīl.