و پروردگارت هر چه بخواهد میآفریند و [هر کس را بخواهد به عبادت و پیامبری] برمیگزیند. مشرکان اختیاری ندارند [که در این مورد اعتراض کنند]. الله از چیزهایی که با او شریک میدانند منزه و برتر است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na Mola wako anaumba anachokitaka kukiumba, na anamteua awe karibu na Yeye Anayemtaka katika viumbe wake. Na hakuna yoyote mwenye chochote cha amri na uteuzi. Kwa hakika, hilo ni la Mwenyezi Mungu Peke Yake, kutakasika na sifa za upungufu ni Kwake, Ametukuka na kuepukana na ushirikina wao.