[پس از اینکه مادر موسی چنین کرد،] خاندان فرعون او را [از آب] گرفتند، تا سرانجام [سالها بعد، این فرزند بنیاسرائیل] دشمن و [مایۀ] اندوهشان گردد. به راستی که فرعون و هامان و سپاهیانشان گناهکار بودند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hapo akamuweka sandukuni na akalitupa kwenye mto wa Nail, na wafuasi wa Fir'awn wakalipata na wakalichukua, na mwisho wake ukawa vile Alivyokadiria Mwenyezi Mungu kuwa Mūsā awe ni adui yao kwa kuwa kinyume na dini yao, na awatie kwenye huzuni ya kuzamishwa na kuondokewa na ufalme wao mikononi mwake. Kwa hakika, Fir'awn na Hāmān na wasaidizi wao walikuwa wafanyaji makosa washirikina.