و مبادا [کافران] تو را از [تبلیغ] آیات الهی ـ پس از آنكه بر تو نازل شد ـ بازدارند! و [مردم را] به سوی پروردگارت دعوت کن و هرگز از مشرکان نباش.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na wasikuepushe wewe washirikina hawa na ufikishaji aya za Mola wako na hoja Zake baada ya kuwa Amekuteremshia kwako, na ufikishe ujumbe wa Mola wako, na usiwe ni miongoni mwa washirikina katika kitu chochote.