[ولی همۀ آنان] یکسان نیستند. گروهی از اهل کتاب هستند که درستکارند [و] در دل شب، در حالی که به نماز ایستادهاند، آیات الله را میخوانند،
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Waliopewa Vitabu hawako sawa: kati yao liko kundi lifuatalo njia iliyolingana sawa juu ya amri ya Mwenyezi Mungu, lenye kumuamini Mtume Wake Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, na ambalo watu wake wanasimama usiku wakizisoma aya za Qur’ani tukufu na wakielekea kwa Mwenyezi Mungu kwa kumuomba katika Swala zao.