و [به یاد آور] هنگامی که دو گروه از شما [= بنیسَلَمه و بنیحارثه] خواستند سستی ورزند [و همراه منافقان به مدینه بازگردند]؛ ولی الله یاور [و نگهدار] آنان بود؛ و مؤمنان باید تنها بر الله توکل کنند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Kumbuka, ewe Mtume, yale mambo yaliyowahusu kina Banū Salimah na Banū Ḥārithah wakati walipowaza kurudi nyuma, wao na kiongozi wao, mnafiki Abdullāh bin Ubayy bin Salūl, kwa kuogopa kukutana na adui. Lakini Mwenyezi Mungu Aliwalinda na Akawahifadhi wakaenda pamoja na wewe wakimtegemea Mwenyezi Mungu. Na kwa Mwenyezi Mungu, Peke Yake, na wajitegemeze Waumini.