و الله آن [وعده یاری] را جز بشارتی برای [پیروزی] شما قرار نداد تا [به وسیله آن] دلهایتان به آن آرامش گیرد؛ و [گرنه] پیروزی جز از جانب الله شکستناپذیرِ حکیم نیست.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na Mwenyezi Mungu Hakuuleta msaada huu wa Malaika isipokuwa ni kwa ajili ya kuwapa bishara kwa msaada huo na ili nyoyo zenu zitulie na ziwe nzuri kwa ahadi ya Mwenyezi Mungu kwenu. Na msaada wa hakika unatoka kwa Mwenyezi Mungu, Mwenye kushinda Ambaye Hashindwi, Mwenye hekima katika uendeshaji mambo Wake na matendo Yake.