و [ای مؤمنان،] به راستی که پیش از روبهروشدن با مرگ [در غزوۀ اُحُد]، آرزوی شهادت داشتید. سرانجام آن [معرکۀ جنگ] را دیدید و [اکنون پیش روی شماست و] به آن مینگرید.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na kwa hakika mlikuwa, enyi Waumini, kabla ya vita vya Uhud mnatamani kukutana na maadui zenu, ili mpate utukufu wa jihadi na kufa mashahidi katika njia ya Mwenyezi Mungu ambao walibahatika nao ndugu zenu kwenye vita vya Badr. Basi hilo ndilo, Iimeshapatikana kwenu, mlilolitamani na mkaliomba. Basi jitokezeni mpigane na msubirishane.