کسانی که [خود در خانه] نشستند [از جهاد سر باز زدند] و دربارۀ برادران شان گفتند: «اگر آنها از ما پیروی میکردند، کشته نمیشدند». [ای پیامبر، به این منافقان] بگو: «اگر راست میگویید، پس مرگ را از خود دور سازید».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Wanafiki hawa ndio wale walioketi wakawaambia ndugu zao waliopata msiba pamoja na Waislamu kwenye vita vyao na washirikina siku ya Uhud, «Lau kama watu hawa wangalitutii hawangaliuawa.» Sema, ewe Mtume, uwaambie «Zizuieni nafsi zenu na kifo, ikiwa nyinyi ni wa kweli katika madai yenu kwamba wao kama wangaliwatii hawangaliuawa na kwamba mumeokoka na mauti kwa kukaa kwenu kutokwenda vitani.»