ای اهل کتاب، چرا به آیات الله کافر میشوید، در حالی که خود [به درستیِ آن] گواهی میدهید؟
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Enyi watu wa Taurati na Injili! Vipi nyinyi mnakanusha aya za Mwenyezi Mungu ambazo aliziteremsha kwa Mitume wake katika Vitabu vyenu, na ndani yake muna kuwa Muhammad , rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, ndiye Mtume anayengojewa na kuwa aliyowajia nayo ndio haki. Na nyinyi mnashuhudia hilo, lakini mnalikanusha.