و [نیز] به شما فرمان نمیدهد که فرشتگان و پیامبران را [به جای الله،] پروردگارانی [برای خود] بگیرید. آیا [این شخص] شما را پس از آنکه مسلمان شدید، به کفر فرمان میدهد؟
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na haikuwa kwa yoyote katika wao awaamrishe nyinyi kuwafanya Malaika na Mitume ni wola wasiokuwa Mwenyezi Mungu ambao nyinyi mnawaabudu. Je, inaingia akilini, enyi watu, yeye awaamrishe kumkanusha Mwenyezi Mungu baada ya kufuata kwenu amri yake?