[الله] به فرمان خویش فرشتگان را با وحی بر هر یک از بندگانش که بخواهد نازل میکند [با این پیام] که: «[ای پیامبران، مردم را از شرک به الله] بیم دهید [و به آنان بگویید که] معبودی [بهحق] جز من نیست؛ پس [ای مردم،] از من پروا کنید».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Mwenyezi Mungu Anawateremsha Malaika kuleta wahyi kwa amri Yake kwa anayemtaka miongoni mwa waja Wake waliotumilizwa kwamba watisheni watu na ushirikina na waambieni kwamba hapana wa kuabudiwa kwa haki isipokuwa mimi. Hivyo basi, nicheni kwa kutekeleza faradhi zangu na kunipwekesha kwa kuniabudu na kunitakasa.