[آنها] بارهاى سنگین شما را [از شهری] به شهرى [دیگر] مىبَرند كه [اگر چنین نمیکردند،] جز با زحمتی جانکاه نمىتوانستید به آنجا برسید. به راستی که پروردگارتان دلسوز و مهربان است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na wanabeba wanyama hawa vyombo vyenu vizito kuvipeleka kwenye mji wa mbali ambao hamkuwa ni wenye kuufikia isipokuwa kwa usumbufu mwingi wa nafsi zenu na mashaka makubwa. Hakika Mola wenu ni Mpole, Mwenye huruma kwenu kwa kuwafanyia vitu mnavyovitaka kuwa vipesi. Hivyo basi kusifiwa ni Kwake na kushukuriwa.