و [مشرکان] به جاى الله چیزهایى را عبادت میکنند كه مالک هیچ روزىای در آسمانها و زمین برایشان نیستند و توانایی [هیچ کاری] ندارند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na washirikina wanaabudu masanamu ambayo hayana mamlaka ya kuwapa riziki itokayo mbinguni kama mvua wala itokayo ardhini kama mazao. Wao hawamiliki kitu chochote wala hapana uezekano wowote kwa wao kukimiliki, kwani wao hawawezi.