که یار شما [= محمد ﷺ] هرگز گمراه نشده و به راه تباهى نیفتاده است؛
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
kwamba Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, hakupotoka kwenye njia ya uongofu na haki, na hakutoka nje ya njia ya usawa. Bali yeye yuko kwenye upeo wa unyofu, usawa na uthabiti.