[چون او را نیافت گفت:] قطعاً او را به سختی مجازات میکنم یا سرش را میبُرم، مگر اینکه دلیل روشنی [برای غیبتش] بیاورد».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
alisema, «Nitamuadhibu hud-hud huyu adhabu kali kwa kumtia adabu ya kutokuweko kwake, au nitamtesa kwa kumchinja kwa kitendo alichokifanya kwa kuwa aliharibu nidhamu aliyowekewa aifuate, au ni lazima anijie na hoja iliyo wazi ya sababu ya kughibu kwake.