دیری نپایید [که هدهد آمد] و گفت: «از چیزی آگاهی یافتهام که تو به آن آگاهی نیافتهای و از [سرزمین] سبأ خبری موثق برایت آوردهام.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Akakaa hud-hud muda usio mrefu kisha akahudhuria, na Sulaymān akamlaumu juu ya kughibu kwake na kutokuwako kwake. Hud-hud akamwambia, «Nimejua jambo usilolijuwa kikamilifu, na nimekujia kutoka mji wa Saba’ na habari ya jambo muhimu sana, na mimi nina yakina nalo.