آنان گفتند: «ما نیروی بسیار و جنگجویانِ قدرتمندی داریم؛ ولی اختیار [و تصمیم نهایی] با توست؛ پس بررسی کن که چه دستوری بدهی».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Wakasema kumjibu ,»Sisi ni wenye nguvu wa idadi na silaha, na ni watu wa utetezi na ushujaa katika vita vikali, na uamuzi ni wako, na wewe ndiye mwenye maoni, basi fikiria unatuamrisha nini. Sisi ni wenye kusikiliza maneno yako na ni watiifu kwako.»