[ملکه] گفت: «بیتردید، وقتی پادشاهان [به عنوان فاتح] وارد شهری میشوند، آن را ویران [و تباه] میسازند و بزرگانش را خوار و ذلیل میکنند و رفتارشان همواره چنین بوده است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Akasema akiwatahadharisha kukabiliana na Sulaymān kwa uadui na akiwaelezea mwisho mbaya wa kupigana, «Kwa hakika, wafalme wakiingia na majeshi yao kwenye mji kwa nguvu na ushindi, wanauharibu, wanawafanya watukufu wake kuwa wanyonge, wanauwa na wanachukua mateka. Na hii ndiyo desturi yao inayoendelea na inayojikita ili kuwafanya watu wawaogope.