[آنگاه] گفت: «ای بزرگان، کدامیک از شما ـ پیش از آنکه آنان تسلیمشده نزد من بیایند ـ تخت او را برایم میآورد؟»
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Sulaymān akasema akiwahutubia wale ambao Mwenyezi Mungu Amemdhalilishia miongoni mwa majini na binadamu, «Ni nani kati yenu ataniletea kitanda cha ufalme wake kabla hawajanijia wakiwa katika hali ya kufuata na kutii?»