در حقیقت، کسانی که به آخرت ایمان نمیآورند، اعمال آنان را برایشان آراستهایم؛ پس [کوردل و] سرگشتهاند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hakika ya wale wasioamini nyumba ya Akhera na hawafanyi matendo ya kuwafaa huko, tutawapambia wao matendo yao mabaya wayaone ni mazuri, na wao watakuwa wakizunguka kwenye matendo hayo wakiwa wameduwaa.